Kliniki na madaktari bandia

www.ntv.co.ke Madaktari wanne na afisa mmoja wa matibabu ni miongoni mwa watu 40 wanaokesha korokoroni leo baada ya kukamatwa kwa makosa ya kitaaluma wakati wa msako ulioandaliwa na maafisa wa wizara za huduma za afya na afya ya umma katika eneo la magharibi mwa Kenya. Vituo kadhaa vya matibabu vilifungwa wakati wa msako huo uliofanywa katika miji ya Eldoret, Kitale, Kakamega, Bungoma na Malaba.
Author: NTVKenya; Tags: NTV KEnya clinic illegal klinic quack doctors medical practice practioners


















